Miss Tanzania ataka somo la hedhi mashuleni

Basila Mwanukuzi - Miss Tanzania mwaka 1998

Miss Tanzania Mwaka 1998, Basila Mwanukuzi  ameishauri serikali kuweka somo la kuwafundisha mabinti namna ya kujihifadhi ngazi ya shule za msingi  kwa kupitia walezi (Matron)  kipindi wanapokuwa wameanza kupata mabadiliko ya ukuaji wa mwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS