BASATA walia na lugha inayotumika kwenye singeli

Manfongo

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemshauri msanii wa singeli Manfongo, kutumia lugha za misamiati na mafumbo katika kazi zake ili kuepusha maneno ya mtaani ambayo yanatafsirika kwa kuwa muziki huo unasikilizwa na watu wa rika tofauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS