Kikwete afiwa na mama yake

Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete

Mama mlezi wa aliyekuwa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Bi Nuru binti Halfani Shomvi amefariki dunia katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa asubuhi ya leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS