Lissu aachiwa kwa dhamana

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi kwa saa kadhaa kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi ambayo yangeweza kuibua mtafaruku wa kidini katika jamii

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS