VIDEO: 80% bongo movie hawana vipaji - Aunty

Aunty Ezekiel akiwa Kikaangoni

Msanii wa filamu nchini Tanzania Aunty Ezekiel amefunguka na kusema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya wasanii wa filamu nchini hawana vipaji, na wanafanya kazi kiubabaishaji, jambo linalochangia tasnia hiyo kuporomoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS