Muhimbili yafanikisha 'upasuaji wa ajabu'

Madaktari bingwa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiendelea na zoezi la upasuaji wa tumbo kwa njia ya matundu.

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Falme za Kiarabu kwa mara ya kwanza wamefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa mfumo wa chakula na njia ya haja kubwa kwa njia ya matundu madogo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS