Kamishna Jenerali Dkt. Anna Peter Makakala , Jenerali wa Uhamiani Tanzania baada ya kiapo
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameweka wazi sababu ya kuteua mwanamke katika nafasi ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, kuwa ni kutokana na kwamba wanawake wengi ni waaminifu katika suala la fedha.