Ndugai akemea wabunge kukamatwa 'kibabe' Spika wa Bunge Job Ndugai Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai amekemea tabia ya ukamatwaji wa wabunge wanapokuwa kwenye vikao vya Bunge na kusema kuwa jambo hilo ni kinyume cha sheria na utaratibu. Read more about Ndugai akemea wabunge kukamatwa 'kibabe'