Bosi Mamlaka ya Dawa za Kulevya ateuliwa Rais Magufuli Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Bw. Rogers William Sianga kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (Drug Control and enforcement Authority). Read more about Bosi Mamlaka ya Dawa za Kulevya ateuliwa