Kichapo chamkimbiza Matumla hospitali

Mabondia Mafaume Mfaume kushoto na Mohamed Matumla wakitunishiana misuli kabla ya mpambano huo.

Bondia Mohammed Matumla amekumbana na kipigo kisicho cha kawaida na kuumizwa vibaya katika pambano la ngumi, hali iliyosababishwa akimbizwe katika hospitali ya Temeke kwa kutumia gari dogo la mizigo au 'pick up'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS