Magufuli ataka vita ya 'unga' isijali umaarufu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwataka viongozi wa majeshi nchini kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote wa madawa ya kulevya bila ya kujali nafasi zao, na umaarufu wao.