Vita ya dawa za kulevya yatinga Shinyanga Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro Vita dhidi ya dawa za kulevya imetua mkoani Shinyanga ambapo jumla ya watu 17 wanaotuhumiwa kuwa ni watumiaji wa dawa hizo wanashikiliwa na jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga Read more about Vita ya dawa za kulevya yatinga Shinyanga