Watu 13 mbaroni kwa kukaidi agizo la serikali
Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Morogoro ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro DK. KEBWE STEVEN KEBWE inawashikilia watu 13 wakiwemo wakulima na wafugaji wilayani Malinyi kutokana na kukaidi agizo la serikali