Ulichonacho ni mimba ya unachotarajia - Shamsa

Muigizaji wa filamu nchini, Shamsa Ford.

Muigizaji wa filamu nchini Shamsa Ford ametoa ushauri kwa Watanzania hususani vijana ambao hupata kidogo na kushindwa kujipanga na maisha ya kile kidogo wakipatacho na kusema siku zote unapaswa kuthamini kile ulichonacho leo ili kuwa na kesho nzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS