Chad yashinda uenyekiti Kamisheni ya AU Moussa Faki Mahamat Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad, Moussa Faki Mahamat, leo amechaguliwa na viongozi wa Afrika jijini Addis Ababa nchini Ethiopia kuwa Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Read more about Chad yashinda uenyekiti Kamisheni ya AU