ACT-Wazalendo yamleta Tanzania Julius Malema

Julius Malema

Kiongozi machachari kutoka chama cha upinzani nchini Afrika Kusini cha Economic Freedom Fighter – EFF Bw. Julius Malema ni mmoja wa viongozi wanaotarajiwa kuwasili nchini kuhudhuria mkutano utakaondaliwa na chama cha upinzani cha ACT Wazalendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS