Mbeya City yakamia pointi 3 za Mwadui Wachezaji wa Mbeya City Klabu ya Mbeya City FC imetamba kuondoka na pointi 3 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Mwadui FC unaopigwa jioni ya leo katika dimba la Mwadui Complex Shinyanga. Read more about Mbeya City yakamia pointi 3 za Mwadui