Askari mbaroni kwa kuua na kujeruhi

Charles Mkumbo - Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha

Jeshi la polisi mkoa wa Arusha, linawashikilia Askari wanne wa SUMA JKT kwa tuhuma za kuhusika kuwaua wafugaji wanne kwa kuwapiga risasi na kuwajeruhi wengine watano kwenye vurugu zilizotokea eneo la Oldobnyo Sambu wilayani Arumeru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS