JPM atangaza makubwa zaidi mabasi ya mwendo kasi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara baada ya kuendesha gari la Mwendo Kasi katika kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) mara baada ya kufungua rasmi Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema serikali itajenga barabara za juu tatu za kuchepuka katika eneo la Ubungo ili kuupa maana Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) ulioanzia Jijini Dar es Salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS