Simba kutupwa nje Kombe la Shirikisho

Mchezo kati ya Simba na Polisi Dar

Klabu ya Simba huenda ikatupwa nje ya michuano ya kombe la shirikisho kufuatia kumpanga beki wake Novalt Lufunga kwenye mchezo walioshinda mabao 2-0 dhidi ya Polisi ya Dar es salaam huku akiwa na kadi nyekundu aliyoipata kwenye michuano iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS