Kilichoanza kumpa jeuri Mwambusi, hiki hapa Makocha wa Yanga wakiwa katika mazoezi ya timu Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amefunguka na kusema kuwa sasa kikosi cha Yanga kimekamilika kwani wachezaji wote ambao walikuwa majeruhi wameanza mazoezi na hali zao ziko vizuri. Read more about Kilichoanza kumpa jeuri Mwambusi, hiki hapa