Mwana FA ataja wasanii ambao hatafanyanao kazi

Mwana FA

Rapa Mwana FA ambaye kwa sasa anafanya vyema na ngoma yake 'Dume Suruali' amefunguka na kuweka wazi kuwa hana mpango kwa sasa kufanya kazi na wasanii kama Lady Jaydee, Prof Jay, Juma Nature na wengine wengi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS