Yanga na Majimaji zasababisha rungu kwa mwamuzi

Mechi ya Yanga na Majimaji

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemwondoa Mwamuzi Hussein Athuman kwenye orodha ya waamuzi wa Ligi Kuu baada ya kupata alama za chini ambazo hazimwezeshi kuendelea tena kuchezesha ligi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS