Mshindi wa Ubunge Dimani aahidi kuwa daraja

Mbunge Mteule wa JImbo wa Dimani Zanzibar Juma Ali Juma wakati wa kampeni

Mshindi wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Dimani Visiwani Zanzibar Juma Ali Juma ameahidi kuzibeba kero za wananchi wa jimbo hilo na kuwasilisha serikalini kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi wa haraka

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS