Ndugu wawili wakutana fainali Australian Open

Venus Williams (Kushoto) na Serena Williams wakiwa na baba yao, Richard Williams

Ndugu wawili raia wa Marekani Serena na Venus Williams watakutana kwenye fainali ya grand slam kwa mara ya tisa kunako michuano ya wazi ya Australia kufuatia wanadada hao kushinda mechi zao za nusu fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS