Mwaka mmoja wa Magufuli, Muhimbili yazidi kunawiri

Moja ya majengo katika hospitali ya Taifa Muhimbili

Tathmini ya vipimo vya Radiolojia vinavyojumuisha MRI, CT-SCAN, Utra-Sound na Plain X-Ray inaonesha kuwa kwa kipindi cha Desemba 2015 hadi Oktoba 2016 jumla ya wagonjwa 55,073 wamepimwa kwa kutumia vipimo hivyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS