Simba, Yanga zasaka point 3 ugenini, Ligi Kuu Bara

Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mbao FC

Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kesho (Jumatano) katika viwanja sita huku timu zote za Dar es Salaam zikiwa mikoani kupambana katika ligi hiyo inayotarajiwa kumaliza mzunguko wake wa kwanza Novemba 12, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS