CHADEMA yaukataa muswada wa vyombo vya habari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimesema kuwa Muswada wa Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari unaotarajiwa kuwasilishwa kwenye Mkutano wa Bunge unaoanza leo Jumanne, Novemba 1, ni hatari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS