CHADEMA yaukataa muswada wa vyombo vya habari Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimesema kuwa Muswada wa Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari unaotarajiwa kuwasilishwa kwenye Mkutano wa Bunge unaoanza leo Jumanne, Novemba 1, ni hatari. Read more about CHADEMA yaukataa muswada wa vyombo vya habari