Wakuu wa mapori wapewa miezi 2 kuweka alama

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na watendaji wakuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa miezi miwili na siku tisa kwa Wakuu wa Mapori ya Hifadhi za Misitu kuhakikisha wanaweka mawe ya alama (beacons) kwenye mipaka yao ili kuepusha migogoro na wanavijiji wanaowazunguka

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS