Ummy Mwalimu aongoza mkutano wa afya wa EAC

Mwenyekiti wa Mkutano huo, Ummy Mwalimu (Katikati)

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameongoza kikao cha mkutano wa 13 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Afya wa nchi za Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS