Rais Magufuli atimiza miaka 57 awashukuru wananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo Oktoba 29, 2016 anasherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwake ambapo anatimiza miaka 57.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS