Utamaduni wa kutopima afya waongeza saratani

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Taasisi ya Saratani ya Ocean Road Dkt. Crispin Kahesa

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Taasisi ya Saratani ya Ocean Road Dkt. Crispin Kahesa amesema watanzania wengi  hawana utamaduni kuchunguza afya zao mara kwa mara ili kubaini kama kuna dalili zozote za  magonjwa ili yaweze kutibiwa mapema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS