BOT yachukua usimamizi wa Benki ya Twiga Bancorp Prof. Beno Ndullu Benki Kuu ya Tanzania imetangaza rasmi kuchukua usimamizi wa Benki ya Twiga Bancorp kuanzia leo kutokana na upungufu wa mtaji wa benki hiyo kiasi cha kuwa na deni la Shilingi Bilioni 21. Read more about BOT yachukua usimamizi wa Benki ya Twiga Bancorp