Tanzania yaialika Finland kuwekeza kwenye viwanda

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan (Katikati) akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Finland VESA VIITANIEMI (Kushoto) aliyeongozana na Mama Anna Mkapa

Serikali imewakaribisha wawekezaji kutoka nchi ya FINLAND kuja kuwekeza katika sekta mbalimbali nchini ikiwemo ya nishati katika kipindi hiki wakati ambapo taifa la Tanzania linaelekea katika uchumi wa viwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS