Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi (Katikati) na Cosmas Cheka (kulia)
Bondia Mtanzania Cosmas Cheka amesema, licha ya kupewa mpambano muda ukiwa umeenda lakini anaamini atapambana hapo kesho mpaka amuangushe mpinzani wake Jason Bedeman kutoka Afrika Kusini.