Bodi ya Mikopo Serikali za Mitaa yaelemewa

George Simbachawene - Waziri wa TAMISEMI

Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inakabiliwa na maombi makubwa ya mikopo kutoka katika halmashauri zake hadi kufikia shilingi bilioni 48.8 ikilinganishwa na shilingi bilioni 9.2 zinazotolewa sawa na asilimia 18.9.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS