CHADEMA yapinga kununuliwa na Lowassa

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe (Kushoto) akimkabidhi Edward Lowassa kadi ya uanachama, siku alipotangaza kujiunga na chama hicho.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema ni uongo na ni propaganda za wapinzani wao kwamba Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa alimhonga Mwenyekiti Freeman Mbowe ili kupata nafasi ya kugombea urais mwaka 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS