Mikataba tunayoingia izingatie sheria - Bisimba

Daktari wa falsafa katika sheria na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha sheria na haki za binadamu Dkt. Hellen Kijo-Bisimba.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba ametahadharisha kuwa mikataba mbalimbali ambayo Tanzania inaingia na nchi nyingine inapaswa kuzingatia sheria ya mikataba inavyoekeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS