Makao Makuu ya makanisa kujengwa Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya wa Jimbo Katoliki la Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema amefurahishwa na uamuzi wa Kanisa Katoliki na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) wa kutafuta viwanja Dodoma ili wajenge ofisi za makao yao makuu pamoja na makazi ya viongozi wao wakuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS