Sijawahi kupata tuzo tangu nianze muziki -Mr. Blue

Msanii MR. Blue aliyeshika Mic akiwa pamoja na Abby Skills waliposhiriki FNL

Msanii wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue ameweka bayana kwamba pamoj na kukubalika na mashabiki wengi na na kuwa kwenye tasnia ya muziki kwa muda mrefu hajawahi kupata tuzo hata moja ya kutambua mchango wake kwenye muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS