Vyama vya ushirika vyatakiwa kuanzisha viwanda

Wakulima wakiuza mazao yao kupitia vyama vya ushirika

Vyama vya Ushirika vimetakiwa kushiriki katika anzishwaji wa viwanda vidogo ambavyo vitawezesha uchakataji wa mazao ya wakulima, wavuvi na wafugaji, kuweka kwenye madaraja na kufungasha tayari kwa ajili ya mauzo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS