Ukosefu wa ajira chanzo cha uhalifu Kinondoni

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Salum Hapi (kushoto) akishangaa baada ya kupata maelezo ya jinsi mmoja wa wajasiriamali waliowezeshwa kupitia Airtel Fursa anavyoweza kuingiza shilingi laki moja kwa siku kupitia mradi wake wa biashara ndogo ndogo.

Idadi kubwa ya watu wasio na ajira pamoja na elimu ya ujasiriamali ambayo ingewasaidia kujipatia kipato halali imetajwa kuwa moja ya sasabu zinazochangia ongezeko la vitendo vya uhalifu katika Manispaa ya Kinondoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS