Bodi ya Mikopo kuanza uhakiki wa wanufaika

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Bw. Abdul-Razaq Badru (kushoto) akifafanua jambo kwa wanahabari katika ukumbi wa idara ya Habari (Maelezo) hii leo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Bodi hiyo Bw. Cosmas Mwaisobwa

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu leo imetoa ufafanuzi wa masuala mbali mbali kuhusu zoezi la utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wapya na wale wanaoendelea, huku ikitangaza kuanza kwa zoezi la uhakiki wa wanufaika wa mikopo inayotolewa na bodi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS