Malinzi ateuliwa mjumbe wa kamati ya mageuzi CAF

Jamal Malinzi - Rais wa TFF

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Issa Hayatou ameteua Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuwa miongoni mwa wajumbe 11 wa Kamati maalumu ya mageuzi ya muundo wa CAF.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS