Serengeti Boys yaingia kambini kujifua kimataifa

Kikosi cha Serengeti Boys

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Vijana Serengeti Boys imeingia kambini tayari kwa maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa waliyoalikwa na Korea Kusini yatakayofanyika nchini humo kuanzia Novemba 13 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS