Guardiola aanza nyodo baada ya kuichapa Barcelona

Pep Guardiola

Kufuatia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Barcelona jana usiku kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amesema hawakucheza na Barcelona bali wamecheza na timu ya utamaduni wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS