Wananchi watakiwa kushiriki kudhibiti uhalifu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba

Serikali imewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi juu ya uwepo ya watu wanaowatilia shaka katika maeneo yao kutokana na kubainika kuwa baadhi ya wahalifu wanaofanya matukio makubwa ya uhalifu wanatoka nchi za jirani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS