Wachezaji 13 kupitiwa na panga Man United

Wachezaji wa Manchester United

Uongozi wa Klabu ya Manchester United unatarajiwa kufanya maboresho makubwa ya kikosi hicho huku ikijiandaa kuwaachia jumla ya wachezaji 13 ili kupisha ujenzi mpya wa kikosi chini ya Michael Carrick.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS