Nisipochaguliwa sawa, Si nina kwetu;Odinga Kiongozi wa chama cha ODM ambaye pia ni mgombea wa wadhifa wa uenyekiti Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) Raila Odinga ameonyesha utayarifu wake kuelekea uchaguzi huo zikiwa zimesalia siku 4 pekee. Read more about Nisipochaguliwa sawa, Si nina kwetu;Odinga