Tumieni Fursa kuwapeleka watoto shule-Mhe.Ghasia

Mbunge wa Mtwara vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Hawa Ghasia.

Mbunge wa Mtwara vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka wazazi na walezi Mkoani Mtwara kutumia fursa inayotolewa na serikalya kutoa elimu bila malipo kwa kuwapeleka shule watoto wao, ili kuwajengea misingi bora ya maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS