Wanne wafa katika ajali Mbeya

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Zahiri Kidavashari

WATU 4 wamefariki dunia na wengine 27 wamejeruhiwa baada Lori lililokuwa limebeba mzigo wa saruji likitokea jijini Mbeya kwenda Sumbawanga,kupata ajali eneo la Mlima Mbalizi na kuyagonga magari manne na watembea kwa mguu kabla ya kuanguka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS