Bilioni 1.3 zakusanywa daraja la Kigamboni Jumla ya shilingi bilioni 1.3 zimekusanywa kutoka Daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam kupitia tozo mbalimbali zinazolipwa na vyombo vya usafiri vinavyopita darajani hapo. Read more about Bilioni 1.3 zakusanywa daraja la Kigamboni