Wananchi Kisiwani Unguja wakiwa katika harakati za kupata mahitaji katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Unguja,
Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema kuwa mfumuko wa bei kwa bidhaa mbalimbali umeongezeka kwa asilimia 9.3 katika mwezi june kutoka asilimia 8.2 mwezi mei.